karibuni kwenye blog hii mnakaribishwa kutoa maoni
Sunday
siwezi kuacha kuimba/ bi kidude
miaka yangu siijui
bi kidube- siachi kuimba mpaka siku nitapokufa, na ninacho chuo changu mwenyewe cha kufundisha unyago na ninajivunia wanafunzi wangu wote niliowafundisha awajawai kupewa talaka mpaka leo na waume zao.
No comments:
Post a Comment