Sunday

siwezi kuacha kuimba/ bi kidude

miaka yangu siijui


bi kidube- siachi kuimba mpaka siku nitapokufa, na ninacho chuo changu mwenyewe cha kufundisha unyago na ninajivunia wanafunzi wangu wote niliowafundisha awajawai kupewa talaka mpaka leo na waume zao.

No comments: