karibuni kwenye blog hii mnakaribishwa kutoa maoni
Saturday
kuna mdau kanitumia hii picha
K umbe bongo bado tupo nyuma tumetengenezewa uwanja mzuri lakini kuna watu wanauharibu wanangoa viti kisha watu wanapiga kelele mimi sijaona namba yangu ya kiti sasa unaionaje namba na umengoa.
1 comment:
Post a Comment