Saturday

kuna mdau kanitumia hii picha

K umbe bongo bado tupo nyuma tumetengenezewa uwanja mzuri lakini kuna watu wanauharibu wanangoa viti kisha watu wanapiga kelele mimi sijaona namba yangu ya kiti sasa unaionaje namba na umengoa.

1 comment:

abeid said...
This comment has been removed by the author.