tangazo la msiba
Bibi munira hassan wa dubai na ndugu zake wa tz wanatangaza kifo cha mama yao mzazi bi nuru almaaruf (gosheiye )kilichetokea znz leo asubuhi salamu ziwafikie jamaa wote na marafiki wanaousika na msiba huu maziko yatafanyika leo znz baada ya sala ya laasiri mungu ailaze roho ya marehemu maali pema peponi (amin)
No comments:
Post a Comment