Huyu ndio khalid bakhresa aliyepata ajali leo huko znz kwenye mashindano ya magari.
wakati wa kuanza kwa mashindano
gari lake alilopata ajali nalo
hapa kwa mbele ilikuwa kituo cha polisi

kazikwa leo khalid bakhresa mungu ailaze roho ya marehenu mahali pema peponi amin.
No comments:
Post a Comment